Naombeni ushauri wenu wana Jf. Mimi nilipata ajali barabari hivyo kuna mfupa umevunjika sehemu ya nyongo ktk mguu. Hivyo naomba mnishauri sehemu ambapo kuna mtaalamu/watalaamu freshi wa mifupa.Mimi napatikana Dar na Mbeya. Naombeni ushauri wenu!
Naombeni ushauri wenu wana Jf. Mimi nilipata ajali barabari hivyo kuna mfupa umevunjika sehemu ya nyongo ktk mguu. Hivyo naomba mnishauri sehemu ambapo kuna mtaalamu/watalaamu freshi wa mifupa.Mimi napatikana Dar na Mbeya. Naombeni ushauri wenu!