Sihali
Member
- Nov 17, 2010
- 88
- 12
Huyu jamaa anataka sifa piga kampeni lakini acha ushabiki ***** wee
Huyu jamaa anataka sifa piga kampeni lakini acha ushabiki ***** wee
jamani niwieni radhi si mimi niliyepost maneno hii kuna mtu kakuta sijalog off akapost
Unamzimia mwigulumi simshobokei
mi simshobokei
Kuwa makini msichana, watu wakishajua kuwa wewe ni mwanaharakati wanaweza hata kukuwekea matusi ya nguoni, jana kuna dada kavunjiwa ndoa yake, analalamika kuwa alikuwa facebook na haku-log off, mwenzake akaja akaweka maneno ya matusi kuwa eti anapenda ule mchezo mbaya!! Take care Angel, Turudi kwenye Mada ni kwamba mimi nilikuwepo kwenye msafara na ni balaa tupu. Tuombeeni kesho tunazindua kampeni Usa kwa staili yake. Mtaona wenyewe ni jinsi gani CDM ilivyokubalika Meru
jamani niwieni radhi si mimi niliyepost maneno hii kuna mtu kakuta sijalog off akapost
Kweli hakuweka nukta ya mwisho.Kama karudisha form, sasa inafuata hatua ingine ya NEC wakishirikiana na CCM kuanza kutafuta makosa madogomadogo ya kumuengua katika kinyang'anyiro. I mean pingamizi.
mi simshobokei
Na ana mchumba..nadhani haitaji mtu,labda Mwig_lu Nch_mba nadhani bado ana nafasi.
Chaguo lenye Tumaini,
Chaguo la uhakika
Chaguo lenye imani
Chaguo lenye ubora
Chaguo lililopimika.
Chaguo lenye maono.
Mungu Ibariki Tanzania!
Nassari namkubali sana, nakumbuka nilimuona na kumsikia kwenye mchakato majimboni 2010 tbc 1, jamaa ni jembe
we naomba tuheshimiane, nimeshaomba radhi lakini bado waniporomoshea mitusi, kuwa na adabu we kijanaNa ana mchumba..nadhani haitaji mtu,labda Mwig_lu Nch_mba nadhani bado ana nafasi.
ASANTE KWA KUNIELEWA nitafata ushauri wako na hili halitatokea tena.Kuwa makini msichana, watu wakishajua kuwa wewe ni mwanaharakati wanaweza hata kukuwekea matusi ya nguoni, jana kuna dada kavunjiwa ndoa yake, analalamika kuwa alikuwa facebook na haku-log off, mwenzake akaja akaweka maneno ya matusi kuwa eti anapenda ule mchezo mbaya!! Take care Angel, Turudi kwenye Mada ni kwamba mimi nilikuwepo kwenye msafara na ni balaa tupu. Tuombeeni kesho tunazindua kampeni Usa kwa staili yake. Mtaona wenyewe ni jinsi gani CDM ilivyokubalika Meru
mkuu nimelipenda jina lako maana kimantiki linafanana na langu!anyway tukirudi kwenye mada dogo ni jembe la ukweli kikwetu tunaita igembe lya sabho au igembe lya njerumaniNassari namkubali sana, nakumbuka nilimuona na kumsikia kwenye mchakato majimboni 2010 tbc 1, jamaa ni jembe