Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Nassari for Arumeru East Constituency.
Kanyaga twende kijana, ccm wakija kushtuka wanakukuta mjengoni Idodomya.
Kanyaga twende kijana, ccm wakija kushtuka wanakukuta mjengoni Idodomya.
Nassari for Arumeru East Constituency.
Kanyaga twende kijana, ccm wakija kushtuka wanakukuta mjengoni Idodomya.
Chaguo lenye Tumaini,
Chaguo la uhakika
Chaguo lenye imani
Chaguo lenye ubora
Chaguo lililopimika.
Chaguo lenye maono.
Mungu Ibariki Tanzania!
Nassari for Arumeru East Constituency.
Kanyaga twende kijana, ccm wakija kushtuka wanakukuta mjengoni Idodomya.
Mzee kwa kidhungu we acha tu...sijaelewa kabisa hebu jisome mwenyewe uone ulichoandika.CDM ni Disasterkwa vyama vingi..including CCM..Nahofu ARUMERU.CCM wakiwa Devidedwakati CHADEMA ANTHEM ikipigwa tuu vina wotemjini kichaa kinapanda kuliko Wimbo wa bob ukipigwa kwa marasta.Sijui.CCMwanahitaji zaidi ya Mwigulu(Ingawa namkubali ktk aina ya SIASA ZA CCM na standardszao). Sikuwahi udhuria mikutano ya chadema kutokana namajukumu, ila siku niliposkia Anthem yao kwa masaa machachejioni siku ya mkesha.Atmosphere niliyoionahaikutofautiana sana na siku ya kutangaza matokeo ya ubunge.There isa day CCM itabidi waue vijana wote mjini ili wabadilimatokeo.Mimi Nipo Arusha, umbali wa Arumeru na maeneo ya Jirani ambayo CDM wanamvuto achilia mbali Aruemeru yenyewe, ni karibu sana waenda kwa miguuwanafika,wapanda toyo wanafika, Nature ya Vijana wa Kimeru(Nimashujaa wa vita kwa staili yao).Sidhani km mambo yatakuwa rahisi kihivyo.CDMni zaidi ya madawa ya kulevya kwa vijana, Mwigulu akibisha atafute namna yakujificha sehemu ktk mikutano ya CDM