Habari zenu wanajamvi,
Naomba msaaada wenu, ninashindwa kudownload file kutoka katika tovuti ya secretariat ya utumishi wa umma lililo katika mfumo wa PDF, kila ninapo download halifunguki unakuja ujumbe unaosema file has been demaged na file lina ukubwa wa 2.8 mb lakini likiingia lina kua na kb chache sana. Please naomba msaada maana nashindwa kusoma majina tulioitwa kwenye usaili NAO.
Asanteni, wenu mtiifu katika ujenzi wa taifa.
Naomba msaaada wenu, ninashindwa kudownload file kutoka katika tovuti ya secretariat ya utumishi wa umma lililo katika mfumo wa PDF, kila ninapo download halifunguki unakuja ujumbe unaosema file has been demaged na file lina ukubwa wa 2.8 mb lakini likiingia lina kua na kb chache sana. Please naomba msaada maana nashindwa kusoma majina tulioitwa kwenye usaili NAO.
Asanteni, wenu mtiifu katika ujenzi wa taifa.