Kijuram
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 513
- 372
Mbunge wa Ulanga amenukuliwa akimpongeza mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kupiga marufuku shisha. Akaenda mbali kwa kusema yeye atapiga marufuku kucheza pooltable jimboni kwake. Kinachonishangaza katazo lake hilo atampa nani maagizo ili litekelezwe? Yeye hana mamlaka yeyote serikalini, ni mwakilishi tu wa wananchi kwenye jimbo lake.
Mbunge ataepiga marufuku mchezo wa pooltable jimboni kwake hivi karibuni - millardayo.com
Mbunge ataepiga marufuku mchezo wa pooltable jimboni kwake hivi karibuni - millardayo.com