Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Tetesi za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba kuna timu ya watu Tisa(9) wamepewa kazi ya kutafuta na kukusanya ushahidi wa maneno machafu yaliyotumika wakati wa kampeni, ili ifunguliwe kesi kupinga ushindi wa Nasari kwa madai kwamba mpinzani wake alisingiziwa kwamba ni shoga ilihali si kweli hivyo kupoteza mvuto kwa wapiga kura.
My take. Kama alivyodai mwana CCM mmoja kwamba nia yao kubwa siyo kwamba wanataka uchaguzi urudiwe ili washinde, nia yao kubwa ukiachilia mbali kwamba wanasahaulisha CHADEMA kujipanga namna ya kupambana ipatikane Katiba mpya iliyo bora pia ni kukifanya CHADEMA kiwe busy na masuala ya kesi na kutumia rasilimalizao chache zilizopo kughalamia michakato ya chaguzi ndogo ili ifikapo mwaka 2015 wasiwe na resources za kutosha kukabiliana na CCM.
My take. Kama alivyodai mwana CCM mmoja kwamba nia yao kubwa siyo kwamba wanataka uchaguzi urudiwe ili washinde, nia yao kubwa ukiachilia mbali kwamba wanasahaulisha CHADEMA kujipanga namna ya kupambana ipatikane Katiba mpya iliyo bora pia ni kukifanya CHADEMA kiwe busy na masuala ya kesi na kutumia rasilimalizao chache zilizopo kughalamia michakato ya chaguzi ndogo ili ifikapo mwaka 2015 wasiwe na resources za kutosha kukabiliana na CCM.