ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Inawezekana ni msaliti,lakini husalitiwi isipokuwa u dhaifu!je maalim ameuona udhaifu wake?usaliti hautokei from nowhere.Lipumba msaliti Malim Seif upo sahihi
Inawezekana ni msaliti,lakini husalitiwi isipokuwa u dhaifu!je maalim ameuona udhaifu wake?usaliti hautokei from nowhere.Lipumba msaliti Malim Seif upo sahihi
Na hapo napo walisalitiana pia.kumbuka hawakufuata makubaliano yao.Lipumba must go, kwa sababu hana jipya ndani ya CUF zaidi ya kuwa kibaraka wa ccm ambaye hataki kuona upinzani unakua,
Anadai UKAWA agenda ilikuwa kwenye katiba tuu, wakati walikubaliana waongeze nguvu ili ikibidi waiondoe ccm madarakani, anakiri kwamba walikaa yeye, dr slaa na nccr wakampitisha slaa agombee urais, akae pembeni anapoteza muda
Shida ya cuf ni mazowea,walizowea kuwatumia hao kina maparara na kuwa dump!leo wamegusa kitu ingine kabisa. Inaonekana hao watu kutoka bara tu ndiyo wakuisaliti cuf huku maalim yeye akiwa ni jiwe kuu la katikati.mtu mnafki aliyekaribishwa Cuf na maalim seif Leo anatuma wahuni kwenda kupiga watu! Alijiuzulu mwenyewe Leo chama kina wabunge wengi anajirudisha kibabe...alinunuliwa na kwenda kupumzika Rwanda na kwingineko wakati wengine wanatafuta kura...alibeba pesa za kampeni na kutitia Nazo akakitelekeza chama!! Leo maalim akae nae kuongea nini?? Tuache upuuzi kuna wakati wa kukaa na kuongea na kunawakati wakupigana...Lipumba hastahili kukaa kikao na maalim...anapaswa kukimbizwa kama "kibanga ampiga mkoloni"!! Huyu nisawa na wale waafrika walioshirikiana na wazungu ili waafrika wawatumikie wazungu enzi za ukoloni!
Lipumba alishafukuzwa uanachamaNamwambia Maalim Seif kwa kua hataki kukaa mezani na Lipumba.
Rejea clouds 360.
Lipumba yupo tayar kufanya kazi na Maalim Seif
Uzuri wake ni nini? Hana hata ushawishi! Kashindwa kupatia chama hata udiwani jimbo alilozaliwa. Tupe proof ya uzuri wake. Ukiwa kwenu ulikozaliwa wanashindwa kuona uzuri wako, unakuja kumuona wewe ndio mzuri!Kiongozi mzuri hapo ni Lipumba hio iko wazi lakini wanacuf wengine wanakubali kumtumikia Maalim
Unakaaje mezani na mtu aliyekukimbia wakati chombo kipo baharini kikipata dhoruba na mawimbi makali...baada ya kufika nchi kavu ndo anarudi kwenye chombo.Mgogoro uliopo ndani ya Cuf ni mkubwa sana.
Maalim Seif unaushawishi mkubwa ndani ya Cuf, pia fahamu kwamba Lipumba nae anaushawishi mkubwa tu kama ulivyo wewe.
Habari ya mashabiki ndani ya mitandao ya kijamii si suluhu ya kumaliza mgogoro huu.
Umesikika ukisema ni Bora uzungumze na CCM, lakini si Lipumba. Mimi nasema hapana.
Mgogoro huu Utamalizwa kwa wewe na Lipumba kukaa mezani na kujadiliana Nini kifanyike ili muendelee na ujenzi wa Chama chenu.
Shirikisheni wanataaluma mbalimbali wa masuala ya kisiasa, kisheria, kijamii na kitamaduni katika maridhiano yenu.
Wapambe walio nyuma yenu si wema hata kidogo.
Msipo kubali kukaa na kuyamaliza kwa majadiliano hakika hata patikana mshindi. Matokeo yake mnaiua CUF kwa mikono yenu wenyewe.
Mmeijenga kwa jasho na Damu nyingi za wanachama wenu lakini haya hamkumbuki hata kidogo kwa kua kuna misukumo nyuma yenu isio salama.
Namalizia kwa kusema kwamba mchawi wa CUF ni wewe Maalim Seif na Lipumba.
Mtasingizia kila kundi, kila Raia.
Kubalini kukaa mezani na kuyamaliza.
Uponjonchiman,Mgogoro uliopo ndani ya Cuf ni mkubwa sana.
Maalim Seif unaushawishi mkubwa ndani ya Cuf, pia fahamu kwamba Lipumba nae anaushawishi mkubwa tu kama ulivyo wewe.
Habari ya mashabiki ndani ya mitandao ya kijamii si suluhu ya kumaliza mgogoro huu.
Umesikika ukisema ni Bora uzungumze na CCM, lakini si Lipumba. Mimi nasema hapana.
Mgogoro huu Utamalizwa kwa wewe na Lipumba kukaa mezani na kujadiliana Nini kifanyike ili muendelee na ujenzi wa Chama chenu.
Shirikisheni wanataaluma mbalimbali wa masuala ya kisiasa, kisheria, kijamii na kitamaduni katika maridhiano yenu.
Wapambe walio nyuma yenu si wema hata kidogo.
Msipo kubali kukaa na kuyamaliza kwa majadiliano hakika hata patikana mshindi. Matokeo yake mnaiua CUF kwa mikono yenu wenyewe.
Mmeijenga kwa jasho na Damu nyingi za wanachama wenu lakini haya hamkumbuki hata kidogo kwa kua kuna misukumo nyuma yenu isio salama.
Namalizia kwa kusema kwamba mchawi wa CUF ni wewe Maalim Seif na Lipumba.
Mtasingizia kila kundi, kila Raia.
Kubalini kukaa mezani na kuyamaliza.
Msalit unamfahamu acha mambo ya mkumboLipumba msaliti Malim Seif upo sahihi
hawakumwaga damu hawa hasa huyo seif, Lipumba ndiye aliyekua akipigwa kila kukicha na kina Sumaye na Mkapa. angalia katika video hii kama utamuona Seif hapo:Mgogoro uliopo ndani ya Cuf ni mkubwa sana.
Maalim Seif unaushawishi mkubwa ndani ya Cuf, pia fahamu kwamba Lipumba nae anaushawishi mkubwa tu kama ulivyo wewe.
Habari ya mashabiki ndani ya mitandao ya kijamii si suluhu ya kumaliza mgogoro huu.
Umesikika ukisema ni Bora uzungumze na CCM, lakini si Lipumba. Mimi nasema hapana.
Mgogoro huu Utamalizwa kwa wewe na Lipumba kukaa mezani na kujadiliana Nini kifanyike ili muendelee na ujenzi wa Chama chenu.
Shirikisheni wanataaluma mbalimbali wa masuala ya kisiasa, kisheria, kijamii na kitamaduni katika maridhiano yenu.
Wapambe walio nyuma yenu si wema hata kidogo.
Msipo kubali kukaa na kuyamaliza kwa majadiliano hakika hata patikana mshindi. Matokeo yake mnaiua CUF kwa mikono yenu wenyewe.
Mmeijenga kwa jasho na Damu nyingi za wanachama wenu lakini haya hamkumbuki hata kidogo kwa kua kuna misukumo nyuma yenu isio salama.
Namalizia kwa kusema kwamba mchawi wa CUF ni wewe Maalim Seif na Lipumba.
Mtasingizia kila kundi, kila Raia.
Kubalini kukaa mezani na kuyamaliza.
Maalim seif msaliti na si lipumba. Msaliti kwa sababu alimkubali Edo wakati wametumia nguvu nyingi kutuambia Edo ni mwizi na yeye akiwemo. Msaliti ni nani kati yao? Anaesimamia ukweli kuwa simuungi mkono huyu maana tulimsema hadharani ni mwizi au anaepokea mwizi na kulazimika kumsafisha?Lipumba msaliti Malim Seif upo sahihi
Mgogoro uliopo ndani ya Cuf ni mkubwa sana.
Maalim Seif unaushawishi mkubwa ndani ya Cuf, pia fahamu kwamba Lipumba nae anaushawishi mkubwa tu kama ulivyo wewe.
Habari ya mashabiki ndani ya mitandao ya kijamii si suluhu ya kumaliza mgogoro huu.
Umesikika ukisema ni Bora uzungumze na CCM, lakini si Lipumba. Mimi nasema hapana.
Mgogoro huu Utamalizwa kwa wewe na Lipumba kukaa mezani na kujadiliana Nini kifanyike ili muendelee na ujenzi wa Chama chenu.
Shirikisheni wanataaluma mbalimbali wa masuala ya kisiasa, kisheria, kijamii na kitamaduni katika maridhiano yenu.
Wapambe walio nyuma yenu si wema hata kidogo.
Msipo kubali kukaa na kuyamaliza kwa majadiliano hakika hata patikana mshindi. Matokeo yake mnaiua CUF kwa mikono yenu wenyewe.
Mmeijenga kwa jasho na Damu nyingi za wanachama wenu lakini haya hamkumbuki hata kidogo kwa kua kuna misukumo nyuma yenu isio salama.
Namalizia kwa kusema kwamba mchawi wa CUF ni wewe Maalim Seif na Lipumba.
Mtasingizia kila kundi, kila Raia.
Kubalini kukaa mezani na kuyamaliza.