Faizafoxy et al mko wapi, hivi ni kweli nape amewatuma?
Hivi kwa nini ni Nape pekee anayeleta taabu mtandaoni na kwenye magazeti? kachuuzwa ninii??
Nilimsikiliza Nape Juzi akihojiwa Mlimani TV, moja kati ya mikakati yao ni kuwafikia vijana wengi popote walipo. Kati ya njia wanazozitumia ni kutuma vijana waingie kwenye mitandao ya kijamii ambako wanaamini kuna vijana wengi na hii itawasaidia kuwapata.
Hili wimbi la wanachama wapya kwenye hii mitandao, hususani jamiiforums, ambao wana itikadi za kimagamba limenifanya niamini kauli hii ya Nape. Lakini waje wakitambua vijana wa kileo wanajitambua na propaganda za magamba haziwezi tena kuwashawishi.
Hongera Nape lakini hii strategy, kama zilivyo nyingine, naamini haitafanya kazi kwa kuwa mfumo wa uendeshaji wa chama chenu cha magamba ni mbovu na ndio tatizo.
Mfikishieni ujumbe, kuwa vijana wake wamefeli, badala ya kujenga, wao wanabomoa.
Ukiona kijana hashiriki kwenye mijadala mpaka aombwe na Nape , jua huyo kijana nae ni mgonjwa.
Nilimsikiliza Nape Juzi akihojiwa Mlimani TV, moja kati ya mikakati yao ni kuwafikia vijana wengi popote walipo. Kati ya njia wanazozitumia ni kutuma vijana waingie kwenye mitandao ya kijamii ambako wanaamini kuna vijana wengi na hii itawasaidia kuwapata.
Hili wimbi la wanachama wapya kwenye hii mitandao, hususani jamiiforums, ambao wana itikadi za kimagamba limenifanya niamini kauli hii ya Nape. Lakini waje wakitambua vijana wa kileo wanajitambua na propaganda za magamba haziwezi tena kuwashawishi.
Hongera Nape lakini hii strategy, kama zilivyo nyingine, naamini haitafanya kazi kwa kuwa mfumo wa uendeshaji wa chama chenu cha magamba ni mbovu na ndio tatizo.
+ mhadhiri+ mhogo mchungu.kina Malaria Sugu?
kina Malaria Sugu?