Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
CCM kujivua magamba alisema Shibuda na kuhoji tangu lini kanzu jeupe likafuliwa kwa sabuni ya mkaa?
Wakijaa humu kuweka porojo nahama JF!
Kwa hiyo na wewe wataka kusema mtandao wa J*F ni wa Chama cha Demokaya na Magwanda ?
Kwa hiyo na wewe wataka kusema mtandao wa J*F ni wa Chama cha Demokaya na Magwanda ?
Mbona tunao humu toka mwaka jana, hawa wanakundi lao lianaitwa vijana zaidi ambalo lilikuwa linaratibiwa na Abrahaman Kinana, kiongozi wao ni Miraji Kikwete na ofisi zao zipo upanga.
Kwa taarifa nilizonazo sasa hivi kundi hili linaelekea kusambaratika maana waliahidiwa ajira baada ya uchaguzi lakini mpaka leo hamna kitu, ila hata Kinana amewashtukia kwamba hakuna walichoisaidia ccm zaidi ya kula pesa na kutembelea magari ya kifahari huku fuko la pesa likiwa linashikiliwa na Miraji Jakaya Kikwete.
Kimsingi walishafeli ndio maana utashangaa mtu kutwa mzima yupo JF wakati hata Invisible mwenyewe anakuwa offline ukweli tasimama kuwa ukweli daima mkitaka majina yao halisi zaidi niwashushia hapa hapa nafahamu wengi wao na nimeshaingia mpaka ofisini kwao. huwa lazima kuwe na shifti ya vijana kati ya wawili mpaka wanne.
kina Malaria Sugu?