MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 7,985
- 6,248
Si huyo tu kuna swebe, mpoki...Vp Zembwela ni mtangazaji?
Si huyo tu kuna swebe, mpoki...Vp Zembwela ni mtangazaji?
Nina Imani Nape anasoma hizi comments, true datHali kwa redio stations nyingi ni mbaya watangazaji walio wengi hawana maadili kabisa ya kiuandishi.
Wakati mwingine wanazungumza maneno ambayo siyo utamaduni wetu kuzungumzwa hadharani hasa nyakati za mchana.
Mfano leo 05/04/2016 saa tano mchana kuna redio station moja (siwezi taja jina) watangazaji wanajadili juu ya usafi kwa mwanamke. Wanaeleza bila hata ya tafsida ya lugha maeneo ambayo mwanamke anatakiwa kujisafisha, pia walizungumzia masuala ya mapenzi na mahusiano kwa kushahabiana na usafi wa mwili. Mada haikuwa mbaya, ila muda ambao kipindi hiki kilikuwa kikirushwa ndiyo tatizo hasa.
Wito serikali kupitia kwa wizara husika tuondoleeni makanjanja wa habari katika vituo vya redio karibu vyote hapa nchini. Siku hizi mwanamke akijua kuropoka tu tayari anapewa kipindi katika redio station au mshereheshaji mzuri wa kitchen party naye anakuwa mtangazaji wa kipindi fulani katika redio station.
Naunga Mkono Hoja, sasa hivi hizi radio zimekuwa jehanam ya kuharibu vijana, yaani hakuna maadili ni upuuzi mtupu unaozungumzwa na mashangingi yaliyo kubuhu ndiyo wamegeuka watangazaji!
Vp Zembwela ni mtangazaji?
Nadhani hapa umeshindwa kumtaja huyu mdada wa Mkasi Salama JabilHata kwenye tv, maadili hakuna, mtangazaji alivyovaa Mungu mwenyewe ndiyo anajua
Hali kwa redio stations nyingi ni mbaya watangazaji walio wengi hawana maadili kabisa ya kiuandishi.
Wakati mwingine wanazungumza maneno ambayo siyo utamaduni wetu kuzungumzwa hadharani hasa nyakati za mchana.
Mfano leo 05/04/2016 saa tano mchana kuna redio station moja (siwezi taja jina) watangazaji wanajadili juu ya usafi kwa mwanamke. Wanaeleza bila hata ya tafsida ya lugha maeneo ambayo mwanamke anatakiwa kujisafisha, pia walizungumzia masuala ya mapenzi na mahusiano kwa kushahabiana na usafi wa mwili. Mada haikuwa mbaya, ila muda ambao kipindi hiki kilikuwa kikirushwa ndiyo tatizo hasa.
Wito serikali kupitia kwa wizara husika tuondoleeni makanjanja wa habari katika vituo vya redio karibu vyote hapa nchini. Siku hizi mwanamke akijua kuropoka tu tayari anapewa kipindi katika redio station au mshereheshaji mzuri wa kitchen party naye anakuwa mtangazaji wa kipindi fulani katika redio station.
Sheria zinasemaje? Kipaji, Elimu au vyote?Clouds imepanda chati kwa mambo makubwa mawili. Djs wakali na watangazaji wabunifu. Kwao issue sio cheti bali kipaji na ubunifu. wakianza kukagua elimu clouds na Efm watakuwa wa kwanza kupotea kwenye ramani.
Anzisha Uzi juu yake .hapa tunajadili juu ya malimbuken yaliyopo nyuma ya mic.Vp Zembwela ni mtangazaji?
Hasa limeibuka wimbi la vipindi vya redio nyingi vinavyo anza SAA NNE hivi watangazaji wake in hatari ,maneno wanayapolomoa tu, afu mixture taarabu! hawachagui cha kuongea,wanaboa sanaaHii redio Ya matangazo sio?
Huo ulio zungumzwa sio maadili mabaya ila wakati wa hayo mazungumzo.Watu wengi hawajui usafi wa mwili ni darasa la bure hata kwako.Au walikuongelea wewe?Naunga Mkono Hoja, sasa hivi hizi radio zimekuwa jehanam ya kuharibu vijana, yaani hakuna maadili ni upuuzi mtupu unaozungumzwa na mashangingi yaliyo kubuhu ndiyo wamegeuka watangazaji!