Ndulungu
Member
- Oct 22, 2011
- 87
- 49
- Thread starter
- #181
Shukrani kwa mchango wako kamanda
Mmmmh kwa ndugu mtoa maada una yako maana hauko na usawa labda nikuulize kitu mwl na kilanja yupi??wakumsikia mwezake!!!!swali rahisi sana hilo jibu ni la haraka sana kama ulivyotaka sisi tukujibu hapo juu mimi sikujibu bali nataka wewe mwenyewe uujibu umma huu kua jibu ni rahisi na unalo waaaazi kabisa laakin kiukweli nimependa sana mada yako nadhani pasi na kuusisha ushabiki ulitaka kuwapa kitu wanajamii hii ASANTE NDUGU