Nape Nnauye aendelea kuhujumu vyombo vya Habari, Amzuia John Mrema kwenye kipindi cha Ajenda

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,815
218,474
Nape Nnauye Waziri wa Habari aliyezuia Bunge Live, na baadaye kumsingizia Magufuli kabla ya kutimuliwa, ameendeleza makali yake baada ya kufanikiwa kumhujumu John Mrema, na kuzuia kipindi cha Ajenda cha Star Tv.

Ushahidi huu hapa .

Screenshot_2023-08-21-23-23-01-1.jpg


Bali Nape anachopaswa kufahamu ni kwamba KILA UBAYA UTALIPWA.

===
Alichoandika Mrema
Wakati naelekea studio, nilijulishwa kuwa kipindi hakitakuwepo na sikupewa sababu zozote. Tanzania uhuru wa habari haujarejea! Mambo Yako kama zama za kale! Aliyefuta Bunge live enzi za mawe ndio anasimamia tasnia ya habari Leo!
 
Duniani tunapita..utafanya chochote utakacho kutokana na mamlaka yako lkn hata ufanyaje kunasiku utaiacha hiyo nafasi watashika wengine, utaiba fedha nyingii lkn weza kula pipa la chakula pekeyako, utajenga majumba ya kifahari lakini utalala chuma kimoja kitanda kimoja. Hata ufanyaje. Lazima siku utang'ata udongo
 
Duniani tunapita..utafanya chochote utakacho kutokana na mamlaka yako lkn hata ufanyaje kunasiku utaiacha hiyo nafasi watashika wengine, utaiba fedha nyingii lkn weza kula pipa la chakula pekeyako, utajenga majumba ya kifahari lakini utalala chuma kimoja kitanda kimoja. Hata ufanyaje. Lazima siku utang'ata udongo
Amen
 
Nape na elimu yake ya shule za kata hawezi kuwa na akili ya kuongoza Wizara. Yeye na kina Kibajaji na Msukuma tofauti yao ndio ndogo sana. Hata huko India alisomea University ya Kata.
Baba yake yule mburura mpaka anakufa hata kibanda hakuwa nacho.
Yaani namzidi Mimi mlinzi kwa rasilimali mtu ambaye alikuwa na mivyeo mingi
 
Duniani tunapita..utafanya chochote utakacho kutokana na mamlaka yako lkn hata ufanyaje kunasiku utaiacha hiyo nafasi watashika wengine, utaiba fedha nyingii lkn weza kula pipa la chakula pekeyako, utajenga majumba ya kifahari lakini utalala chuma kimoja kitanda kimoja. Hata ufanyaje. Lazima siku utang'ata udongo
Maaskofu wa TEC wanalijua hili?
 
Back
Top Bottom