kama kuna siku jf imedhalilisha watu leo imetia fora! Kamanda Mnyika na ndugu Nape kwa niaba ya muanzisha uzi na mods naomba samahani kwa niaba yao!lakini hawa wote ni makatibu wenezi wa vyama wanavyoviongoza
Nape hata CCM hatufai kabisa.
Nape ni mzigo mzito mchafu kwa CCM.
J.J Mnyika,he is great guy.
Mchumia tumbo nape mnamuonea sana,endelea kulea kitambi na kubwabwaja bwana nape.
Hili swali ungewauliza akina Lowasa na wenzake, ila nahisi alipewa kanafasi hako ili kumziba mdomo baada ya kutaka kuwaumbua kwenye ule utapeli uliofanyika kwenye ujenzi wa Jengo la vijana.Mbona ndie ktibu uenezi? au mlikua mmechanganyikiwa wakati mnampa huo wadhifa
Huu nj mzaha ukama kichwa cha habari kilivyojieleza hebu tuchangie wanajamvi.