Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,263
- 22,539
Ndugu wapendwa kweli naona kunaitajika kuwa na wakina pengo zaidi ya alfu moja tunapokwenda....huyu bwana ni kaka yangu jamaa yangu na zaidi ya yote amenisaidia katika baadhi ya mambo yangu kiisias...tangu alipoanza kuiibua ile dili ya kina lowasa kuuza ofisi za CCM pale umoja wa vijana ...wakakimbizana ....walipoona mmmhh kijana ana madhara wakamhakikishia kumpa ulaji kwa kila uchaguzi....sikatai kama ni mwananchama wa ccm wajibu wake kufanya ama kutimiza ilani ya chama....
Leo hii natoka kumwangalia kwenye TV akisema viongozi wa dini achaneni na serikali kabisa...katika moja ya maulidi alioalikwa kama mgeni maaluum...kama ni mafisadi waombeenii wabadilike na si kushindana na serikali ama kukimbizana na serikali........,wapeni nafasi serikali ...namnuukuu..............sasa huyu bwana ana maana viongozi wa dini wakiona serikali inaiba wakae kimya tu...anaweza kutuonyesha .....wapi pameandikwa viongozi wa dini wasiiirekebishe serikali kama wanakosea...........mmmmmmhhhhhh nnape
unatutisha ndugu
Leo hii natoka kumwangalia kwenye TV akisema viongozi wa dini achaneni na serikali kabisa...katika moja ya maulidi alioalikwa kama mgeni maaluum...kama ni mafisadi waombeenii wabadilike na si kushindana na serikali ama kukimbizana na serikali........,wapeni nafasi serikali ...namnuukuu..............sasa huyu bwana ana maana viongozi wa dini wakiona serikali inaiba wakae kimya tu...anaweza kutuonyesha .....wapi pameandikwa viongozi wa dini wasiiirekebishe serikali kama wanakosea...........mmmmmmhhhhhh nnape
unatutisha ndugu