ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,252
- 8,341
Hilo gwanda mimi mwenyewe nilivaa enzi zile za
"Kiapo cha chipukizi, Kiapoooooo
We ni nani, Mi ni chipukizi
Kiongozi wako ni nani, Nyerere na Mwinyi
Nitakitumikia chama changu kitukufu cha CCM, saa yeyote, wakati wowote, mahali popote, Mungu nisaidie!
Dah tunatoka mbali, siamini kama sasa watu wanaidharau CCM waziwazi,
"Kiapo cha chipukizi, Kiapoooooo
We ni nani, Mi ni chipukizi
Kiongozi wako ni nani, Nyerere na Mwinyi
Nitakitumikia chama changu kitukufu cha CCM, saa yeyote, wakati wowote, mahali popote, Mungu nisaidie!
Dah tunatoka mbali, siamini kama sasa watu wanaidharau CCM waziwazi,