FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 367
- 725
Huna akili 🚮Pale utakapo jua kuwa mtu mweusi ni mtumwa wa mtu mweupe utanielewa na wala huta jisumbua kutetea upuuzi. Mimi nataka waarabu wakabidhiwe hiyo bandari bila kuzingatia hoja zozote na pia hii sio kwa faida yako wala kwa faida ya mtanzania yoyote hii ni kwafaida ya watawala wa hii dunia ambao hawafi na wanaishi milele. Wewe utapiga kelele kwani bandari ipo pale siku zote imekusaidia nini?
Wacha watu watengeneze channel za fedha tumalizane na hili swala Mambo mengine ya msingi yaendelea