Mkuu kuandaa usafili ni kawaida sana katika mikutano, moja ya benefit ni time management maana wahusika wanafika kwa wakati! pili mkuu wangu, tishio la makondakta lazima lichukuliwe kwa tahadhari, kwa hiyo haiwezekani chama kikategemea daladala ambazo zimeazimia kugoma. Mkuu wangu huoni kama kuna sababu ya msingi ya kutafuta usafili mbadala hapo?
hiv kwa leo unategeme ni nani wa kumdanganya kua kuwasafirisha watu wa malori ni kuwaudishia fedha zao?Mkuu nadhani blog sio kitu cha siri.. Naomba utuwekee jina la blog au link..
Asante!
CHAMA CHA MAPINDUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HAHARI:
Tarehe 9/6/2012:
Wote mnatambua kuwa leo ni mkutano wetu pale Jangwani,
Napenda nichukue fursa hii kuwaeleza mambo muhimu, ya kufanya na yaliyojitokeza jana!
Wenzetu wa chama cha makonda wa mkoa wa dar es salaam wameamua kuwazuia wanachama wetu kutopanda magari yao wakiwa na sare za chama tawala, hili si jambo jema na tunalilaani vikali!
Ninawasihi CHACHAMUDA waache kutafuta ugomvi na serikali, kuwazuia kupanda daladala watu waccm ni kinyume cha sheria za nchi
Baada ya hapo tumeamua kuweka utarati wa wanachama wetu kufika mkutanoni ambapo tutawapa usafiri!
Maroli ya kubeba wanaccm yapo tayari:
kimara, Ukonga, Kigamboni,Mbagala,Tegeta, na kwingneko,
Chama kinahela hivyo kukodi watu sio dhambi tunawapa usafiri wa kuja na kurudi sisi tunarudisha hela kwa wananchi, wakati wenzetu chadema wao wananyang'anya wananchi masikini hela zao,
Tuna siri nzito za wapinzani, tutazimwaga hapa zote, tutadili na upinzani tu maana uhakika wa kuendelea kushika dola upo!
CCM ni taasisi kubwa haimtegemei mtu wala kikundi, hatutamfukuza mtu, ila shughuli iliyo ndani ya chama ndio itakayomkimbiza mtu.
TWangapi waliopita ccm na bado chama kipo? Kuondoka kwa mtu mmoja hakutakiangusha chama, aliondoka baba wa taifa na chama bado kipo.
Chama kikishindwa uchaguzi wa 2015 mimi nipelekwe jela kwa kifungo cha maisha bila kuisumbua mahakama, yani nitoke lumumba moja kwa moja Segerea
Mwisho nawaomba wote mtakaokosa usafiri pandeni daladala njoo jangwani, chakula na vinywaji vitakuwepo bila kusahau bendi yenu ipo!
Nape M. Nnauye
Chanzo: Moja ya blogu za ccm:
Muulize napeBe specific, otherwise hii itakuwa considered kama propaganda tu.
Stick and carrot technique!! Bila hiyo hamuendi???? Ndo zenu kutumia umasikini, ujinga na njaa za wananchi kwa manufaa yenu!!! But thank God that your days are numbered!! Magamba nyie!!!
Hii statement ya Nape inazua maswali na wasiwazi mkubwa,
Kwenye red: Mkutano wa Jangwani ni wa serikali au wa chama cha siasa? Nape anawatisha Makondakta kama serikali au kama msemaji wa chama cha siasa?
Lakini kubwa lililonistua ni hapo kwenye blue; Nape anasema kuondoka kwa mtu mmoja hakutakiuangusha chama na hivyo kuondoka kwa Baba wa Taifa hakukuleta madhara kwa chama. Sijui nitumie maneno gani lakini ninachotaka kuuliza, Nape anaweza kuwaambia watanzania nini hasa kilimuondoa Baba wa taifa? Kwa maneno ya Nape ni kwamba CCM walijua baba wa taifa anaondoka na wakaona ni sawa tu maana hakutaleta matatizo kwa chama? Nani mwingine atafuatia?
CHAMA CHA MAPINDUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HAHARI:
Tarehe 9/6/2012:
Wote mnatambua kuwa leo ni mkutano wetu pale Jangwani,
Napenda nichukue fursa hii kuwaeleza mambo muhimu, ya kufanya na yaliyojitokeza jana!
Wenzetu wa chama cha makonda wa mkoa wa dar es salaam wameamua kuwazuia wanachama wetu kutopanda magari yao wakiwa na sare za chama tawala, hili si jambo jema na tunalilaani vikali!
Ninawasihi CHACHAMUDA waache kutafuta ugomvi na serikali, kuwazuia kupanda daladala watu waccm ni kinyume cha sheria za nchi
Baada ya hapo tumeamua kuweka utarati wa wanachama wetu kufika mkutanoni ambapo tutawapa usafiri!
Maroli ya kubeba wanaccm yapo tayari:
kimara, Ukonga, Kigamboni,Mbagala,Tegeta, na kwingneko,
Chama kinahela hivyo kukodi watu sio dhambi tunawapa usafiri wa kuja na kurudi sisi tunarudisha hela kwa wananchi, wakati wenzetu chadema wao wananyang'anya wananchi masikini hela zao,
Tuna siri nzito za wapinzani, tutazimwaga hapa zote, tutadili na upinzani tu maana uhakika wa kuendelea kushika dola upo!
CCM ni taasisi kubwa haimtegemei mtu wala kikundi, hatutamfukuza mtu, ila shughuli iliyo ndani ya chama ndio itakayomkimbiza mtu.
TWangapi waliopita ccm na bado chama kipo? Kuondoka kwa mtu mmoja hakutakiangusha chama, aliondoka baba wa taifa na chama bado kipo.
Chama kikishindwa uchaguzi wa 2015 mimi nipelekwe jela kwa kifungo cha maisha bila kuisumbua mahakama, yani nitoke lumumba moja kwa moja Segerea
Mwisho nawaomba wote mtakaokosa usafiri pandeni daladala njoo jangwani, chakula na vinywaji vitakuwepo bila kusahau bendi yenu ipo!
Nape M. Nnauye
Chanzo: Moja ya blogu za ccm:
CHAMA CHA MAPINDUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HAHARI:
Tarehe 9/6/2012:
Wote mnatambua kuwa leo ni mkutano wetu pale Jangwani,
Napenda nichukue fursa hii kuwaeleza mambo muhimu, ya kufanya na yaliyojitokeza jana!
Wenzetu wa chama cha makonda wa mkoa wa dar es salaam wameamua kuwazuia wanachama wetu kutopanda magari yao wakiwa na sare za chama tawala, hili si jambo jema na tunalilaani vikali!
Ninawasihi CHACHAMUDA waache kutafuta ugomvi na serikali, kuwazuia kupanda daladala watu waccm ni kinyume cha sheria za nchi
Baada ya hapo tumeamua kuweka utarati wa wanachama wetu kufika mkutanoni ambapo tutawapa usafiri!
Maroli ya kubeba wanaccm yapo tayari:
kimara, Ukonga, Kigamboni,Mbagala,Tegeta, na kwingneko,
Chama kinahela hivyo kukodi watu sio dhambi tunawapa usafiri wa kuja na kurudi sisi tunarudisha hela kwa wananchi, wakati wenzetu chadema wao wananyang'anya wananchi masikini hela zao,
Tuna siri nzito za wapinzani, tutazimwaga hapa zote, tutadili na upinzani tu maana uhakika wa kuendelea kushika dola upo!
CCM ni taasisi kubwa haimtegemei mtu wala kikundi, hatutamfukuza mtu, ila shughuli iliyo ndani ya chama ndio itakayomkimbiza mtu.
TWangapi waliopita ccm na bado chama kipo? Kuondoka kwa mtu mmoja hakutakiangusha chama, aliondoka baba wa taifa na chama bado kipo.
Chama kikishindwa uchaguzi wa 2015 mimi nipelekwe jela kwa kifungo cha maisha bila kuisumbua mahakama, yani nitoke lumumba moja kwa moja Segerea
Mwisho nawaomba wote mtakaokosa usafiri pandeni daladala njoo jangwani, chakula na vinywaji vitakuwepo bila kusahau bendi yenu ipo!
Nape M. Nnauye
Chanzo: Moja ya blogu za ccm:
Nilikuwa nakukubali kwa mabandiko yako humu JF toka kipindi cha hukumu ya John Mnyika...lakini leo nimekuweka kundi la Udaku.
CHAMA CHA MAPINDUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HAHARI:
Tarehe 9/6/2012:
Wote mnatambua kuwa leo ni mkutano wetu pale Jangwani,
Napenda nichukue fursa hii kuwaeleza mambo muhimu, ya kufanya na yaliyojitokeza jana!
Wenzetu wa chama cha makonda wa mkoa wa dar es salaam wameamua kuwazuia wanachama wetu kutopanda magari yao wakiwa na sare za chama tawala, hili si jambo jema na tunalilaani vikali!
Ninawasihi CHACHAMUDA waache kutafuta ugomvi na serikali, kuwazuia kupanda daladala watu waccm ni kinyume cha sheria za nchi
Baada ya hapo tumeamua kuweka utarati wa wanachama wetu kufika mkutanoni ambapo tutawapa usafiri!
Maroli ya kubeba wanaccm yapo tayari:
kimara, Ukonga, Kigamboni,Mbagala,Tegeta, na kwingneko,
Chama kinahela hivyo kukodi watu sio dhambi tunawapa usafiri wa kuja na kurudi sisi tunarudisha hela kwa wananchi, wakati wenzetu chadema wao wananyang'anya wananchi masikini hela zao,
Tuna siri nzito za wapinzani, tutazimwaga hapa zote, tutadili na upinzani tu maana uhakika wa kuendelea kushika dola upo!
CCM ni taasisi kubwa haimtegemei mtu wala kikundi, hatutamfukuza mtu, ila shughuli iliyo ndani ya chama ndio itakayomkimbiza mtu.
TWangapi waliopita ccm na bado chama kipo? Kuondoka kwa mtu mmoja hakutakiangusha chama, aliondoka baba wa taifa na chama bado kipo.
Chama kikishindwa uchaguzi wa 2015 mimi nipelekwe jela kwa kifungo cha maisha bila kuisumbua mahakama, yani nitoke lumumba moja kwa moja Segerea
Mwisho nawaomba wote mtakaokosa usafiri pandeni daladala njoo jangwani, chakula na vinywaji vitakuwepo bila kusahau bendi yenu ipo!
Nape M. Nnauye
Chanzo: Moja ya blogu za ccm: