democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
mnajadili kiazi
.dar tu serikali ya magamba imeshindwa kupeleka vifaa vya sensa KATA YA BUNJU makarani wamekaa wanasubiri madodoso. Na huko mikoani ndo ikoje. haya ndo mambo ya kuita wanahabari cio hiyo hoja ya NAPE.
noting constructive will come from nape's lipsKOMRAD NAPE LIVE NA WANAHABARI MUDA HUU CCM LUMUMBA K/KOO. AWAJIBU CHADEMA..
."..siku saba walizonipa nyingi sana,ushahidi upo kwa kila nachosema...waende mahakamani leo wasisubiri siku saba....wakati huo huo wamsaidie mzee Slaa kuja na ushahidi mahakamani wakusema CCM IMEINGIZA SILAHA,TUNATAKA AJE AOMBE RADHI kwa njia ile ile na tutadai fidia bilion 3, na tayari wanasheria wameshaanza hatua"
ASANTENI.
My take.siasa ya tanzania imeharibika,kila mtu ni mbabe,wanaoumia ni wananchi.
Baada ya CHADEMA kumtaka Nape Nnauye kukiomba radhi chama na kukilipa fidia ya shilingi Bilioni 3 kwa kukidhalilisha kutokana na madai yake kwamba CDM kinapokea mabilioni ya fedha kutoka nje ya nchi lakini kuwachangisha fedha Watanzania kama danganya toto Nape ameibuka na kudai kuwa hayuko tayari kuomba radhi.
Bwana Nape kama kawaida yake ya uropakaji wa maneno aliwaambia CHADEMA kuwa wawahi Mahakamani kwa kuwa ana ushahidi wa uhakika na kile alichokisema.Alienda mbali zaidi na kusema kuwa mtu mzima hatishiwi nyau hivo basi CDM wawahi Mahakamani hata kama ni leo maana siku 7 walizompa ni nyingi na tuko tayari kukutana nao Mahakamani.
Kama hiyo haitoshi akaleta madai ya kitoto eti kuwa na yeye anawataka CHADEMA wathibitishe madai yaliyotolewa na Dr. Slaa kuwa CCM wameingiza kontena la silaha au waombe radhi kwa CCM na walipe Shilingi Bilioni 3 na shilingi 1! Kama ungemsikia Nape wakti anaongea na media ndipo ungejua huyu jamaa ni hamnazo na limbukeni wa siasa! Maneno kama eti siasa ni mchezo wa ajabu, CHADEMA wamwembie BABU yao alete ushahidi kwangu ni maneno ya mtu kebehi na dharau. Huwezi kumwita Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani ati ni babu wala huwezi kusema siasa ni mchezo wa ajabu. Kwake Nape anafikiri siasa ni mchezo kweli? Anathubutuje kumwita Dr. Slaa kama Babu kama siyo ukosefu wa adabu? Kikwete na Dr. Slaa ni nani babu wa mwenzake?
Hii inaonyesha tu Nape ni mtu wa aina gani! Huyu mwisho wake ni kuua CCM. Time gonna tell>
CCM kwa kuiga ni kiboko hata ID t2015ccm Umeiga ya T2015CDM wapuuzi wakubwa sana nyinyi hata ubunifu hamnaKOMRAD NAPE LIVE NA WANAHABARI MUDA HUU CCM LUMUMBA K/KOO. AWAJIBU CHADEMA..
."..siku saba walizonipa nyingi sana,ushahidi upo kwa kila nachosema...waende mahakamani leo wasisubiri siku saba....wakati huo huo wamsaidie mzee Slaa kuja na ushahidi mahakamani wakusema CCM IMEINGIZA SILAHA,TUNATAKA AJE AOMBE RADHI kwa njia ile ile na tutadai fidia bilion 3, na tayari wanasheria wameshaanza hatua"
ASANTENI.
My take.siasa ya tanzania imeharibika,kila mtu ni mbabe,wanaoumia ni wananchi.
Na sasa! Huyu anaongea nini? Kama wao anahisi kuwa Dr Slaa aliwasingizia kuhusu kuingiza silaha nchini si wangekwenda Mahakamani tu? Kwa nini asubiri CDM wamtake aombe radhi ndo na yeye atishie kuwapeleka mahakamani! Yaani watu wengine unaweza kufikiri wamekua kumbe ndo baado watoto kabisa! Yaani yale yale ya enzi zile eti nikusemee umekula sukari naye anajibu na mimi nikusemee ulikula sukari! Kwa nini usiseme siku zote hizo? RA hakukosea kusema amechoshwa na siasa uchwara! Now I got what he meant!
Mnampa kichwa sana kumjadili Nape humu, kichwa chake hakina akili yule dogo, yuko kama baba yake. Amesahau kuwa baba yake Mzee Nnauye alizikwa nyumbani kwa mzee Yusuph Makamba kwa sababu hakuwa hata na Nyumba ya maana ya kuzikwa. Nape Acha kuwa kama babako. Ushauri tu wa bure, ongeza busara kidogo we bw mdogo.