Duzente Siqwente
JF-Expert Member
- Aug 6, 2012
- 265
- 59
Hana akili anatafuta pa kufia na magamba yake
Hivi ukiwa mwana ccm ni lazima u act uchizi ama? Manake ukiangalia wana ccm wale ambao ndo figure ya chama kichwani(reasoning) ni weupee hakuna kitu hebu mwangalie mwigulu, cheki mukama, msikilze nape na kubwa lao jk..duh kwel dalil ya mvua
Nape usichanganya mambo mawili hasa unapogusia masuala ya kisheria. Hoja iliyopo mbele yako kwasasa ni wewe kutoa uthibitisho pasi shaka kuwa CHADEMA wanapata mshiko toka nje. Suala la nyie kuwa mnaandaa janjaweeds kwenye makambi ya wananchi na mmeagiza silaha ni hoja nyingine na huenda mwendesha mashitaka wa serikali akaona haina tija na kuitupilia mbali kama alivyofanya kipindi mahita ni IGP mlivyomtuma na visu vyenye nembo ya CUF au umeshasahau?
Kwani kumshtaki mtu lazima utoe siku saba?mbona wasiasa wa bongo wana mbwembwe.
Vipi leo umekunywa Glass ngapi za gongo?
Ni kweli mkuu, imekula kwake, hii nafasi ya Katibu mwenezi sijui ikoje ikoje hivi, aliyepita kabla ya Nape alikuwa balaaaa! na huyu pia Balaaaa! bo! labda wakifute tu hiki cheo, ni ushauri tu kwa CCM.Nape umeshakaa kwenye kona mbaya, nadhani waliokutuma kuusema mchemko ule, bado hawajakutuma uombe radhi! Una kila dalili za kuanza kuweweseka, unajua ulikosea, ila huuoni mlango wa kutokea! Ulikuwa wapi kutoa madai ya kumtaka Slaa kukanusha na kudai fidia?
Watoto wa mjini wanasema 'msala huo mwanangu', na imeshakula kwako!
Mnampa kichwa sana kumjadili Nape humu, kichwa chake hakina akili yule dogo, yuko kama baba yake. Amesahau kuwa baba yake Mzee Nnauye alizikwa nyumbani kwa mzee Yusuph Makamba kwa sababu hakuwa hata na Nyumba ya maana ya kuzikwa. Nape Acha kuwa kama babako. Ushauri tu wa bure, ongeza busara kidogo we bw mdogo.
Mkuu achana na WANAFIKI wakubwa CHADEMA.Wanajamiiforum, naomba tuwaheshimu wazee wetu Kama Nnauye, waliolitumikia taifa letu kwa uaminifu na uadilifu, kujilimbikizia Mali sio sofa Nouri sanaaa!,,!!!!
Huyo mpiga gitaa kachanganyikiwa badala kusisitiza sensa anaanzisha bifu la kitoto, hapo uenezi upo wapi??
Umemaliza point zote! Teh teh teh!!!!!!!Hivi ukiwa mwana ccm ni lazima u act uchizi ama? Manake ukiangalia wana ccm wale ambao ndo figure ya chama kichwani(reasoning) ni weupee hakuna kitu hebu mwangalie mwigulu, cheki mukama, msikilze nape na kubwa lao jk..duh kwel dalil ya mvua