Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Nape Nauye leo amethibitisha kuwa zile tetesi au habari ambazo zilikuwa zipo mitandaoni kuwa alilazwa jijini Mwanza baada ya kuugua ghafla ni kweli.
Amesema hamuhisi mtu yoyote kuhusu kuugua kwake kwani ni hali ya kawaida na hivi sasa yupo gado ofisini kuhakikisha magamba yanavuka.
Sourrce TBC1. Taarifa ya habari 08:00 p.m
Amesema hamuhisi mtu yoyote kuhusu kuugua kwake kwani ni hali ya kawaida na hivi sasa yupo gado ofisini kuhakikisha magamba yanavuka.
Sourrce TBC1. Taarifa ya habari 08:00 p.m