Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,497
- 17,372
EL akiwa pres Nape atahama nchi kabisa bila ya kufukuzwa,atakimbilia USA kupiga box ajiangalie sana maana upepo huu ukipita ukavuma mwingine wenye kunukia marashi samli ya Monduli atashangaa!hataamini na atatafuta pa kwenda na Riz 1 wake maana hawana kinga hao!