NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Katika Taarifa ya Habari ya TBC1 ya saa 2 usiku huu, Bwana Nape Nnauye akiwa Songea anaonekana akimwagiza "rafiki yake" Waziri wa Ujenzi Mh. Dr. John Maghufuli aende Songea akakague ujenzi wa barabara ya Namtumbo. Anaendelea KUAGIZA kuwa ikiwezekana Mkataba wa ujenzi uvunjwe, atafutwe mkandarasi mwingine. Hii imekaaje? Nawasilisha.