Ww Nape ni mbumbumbu kuliko nilivyodhania.. Hebu soma Signature yangu chini hapo. Bora unyamaze ili tudhanie unajua. Yaan mama Kabaka analeta hadithi za 2006 kurudi nyuma halafu tumwamini. Hey give us a break kabisa.
Haya tuambie toka Feb 2008 ni mradi gani mkubwa mmeleta nyinyi? Lowassa was everything 4 u guys coz he got plans na anaweza thubutu kuliko Mkwe...re anaiba bila hata mipango. Miradi mikubwa yote alisimamia Lowassa na yy ndio alikuwa mzee mikakati japo only 2 years.
Narudia kusema na nitasema serikali ya JK ni janga la kitaifa na hii CCM yenye sekretariet mbovu kiasi hiki ndio janga bab kubwa kwa watanganyika. Makamba anaonekana alivyo smart hata akiongea lakin Huyu Nape na katib mkuu ni janga la kitaifa +++
Unafiki wa Nape ni upi?
Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....
Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....
Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....
Mie nakubaliana na wewe kuwa wanakufanya PUNCHING BAG, hii ni kwasababu u mwepesi wa kuongea na pia una SIDE hadharani. Inaonekana sio mnafiki wewe kaka ila umekamatika katikati ya mafahali wawili wanaopambana.
Turudi kwenye mada halisi ya tatizo la ajira. Je si ni kweli kuwa tuna tatizo na suala la ajira kwa vijana? kama ni kweli si ni A TIME BOMB?
Au hamjui maana ya TIME BOMB?
Acheni siasa Nape. Suala la ajira la vijana Tanzania kweli ni a time bomb kaka!
Lowassa is right on that!
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?
Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
Nape ni mnafiki mkubwa hakuna asiyejua hilo,yeye kila kukicha lowassa,kuna siku atasimama jukwaani na kulamba matapishi yake kuwa lowassa msafi,kwanza uwezo wa kufikir wa nape ni dhaifu sana hana tofauti na mwenyekiti wake wa chama,pamoja na Jk kukana kuwa yeye si dhaifu lkn ukweli unabaki kuwa kwa sasa nchi inaongozwa na viongozi dhaifu,udhaifu wa serikali ktk kutatua kero za watz ndo hoja ya lowassa...anaweza kukana kuwa Hajasema na atalipandisha mwananchi mahakamani! Magamba ni zaidi ya kinyonga!
Nape ni mnafiki mkubwa hakuna asiyejua hilo,yeye kila kukicha lowassa,kuna siku atasimama jukwaani na kulamba matapishi yake kuwa lowassa msafi,kwanza uwezo wa kufikir wa nape ni dhaifu sana hana tofauti na mwenyekiti wake wa chama,pamoja na Jk kukana kuwa yeye si dhaifu lkn ukweli unabaki kuwa kwa sasa nchi inaongozwa na viongozi dhaifu,udhaifu wa serikali ktk kutatua kero za watz ndo hoja ya lowassa...
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?
Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?
Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
Unafiki wa Nape ni upi?
Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....
Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....
Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....