Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema mchungaji Peter Msigwa ni sawa na punda kwenye kundi la ng'ombe na kwamba anawabebea mizigo CCM lakini 2015 watamuondoa asije akawaambukiza magonjwa ng'ombe wao.Amesema hayo leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika sokokuu la manispaa ya Iringa