Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Syo hawajajitambua we unakosea kichaa hajitambui, ila htambuliwa na watu baada ya kuchafuka, sasaa hawa ni vichaa wapya bado hawajafuka subiri kidogo tu wachafuke then dunia nzima itawatambua kuwa ni vichaa bila hata kuambiwa, na wenzao tume ya katiba ritz rejao ,zomba au zombo na wengine wengi....
Kichaa sio lazima aokote makopo,wewe na nape wote vichaa ambao amja jitambua,nyambafu.