hivi nape ana IQ ya ngapi?hivi hakuna kijana mwingine ambaye anaweza kuchukua mikoba ya huyu mtu?....
Kwa ccm huyu ndiye the brightest akifuatiwa na Mwigulu Nchemba maarufu kama anavyopenda kujiita "the first class economist".
hivi nape ana IQ ya ngapi?hivi hakuna kijana mwingine ambaye anaweza kuchukua mikoba ya huyu mtu?....
Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema mchungaji Peter Msigwa ni sawa na punda kwenye kundi la ng'ombe na kwamba anawabebea mizigo CCM lakini 2015 watamuondoa asije akawaambukiza magonjwa ng'ombe wao.Amesema hayo leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika sokokuu la manispaa ya Iringa
Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema mchungaji Peter Msigwa ni sawa na punda kwenye kundi la ng'ombe na kwamba anawabebea mizigo CCM lakini 2015 watamuondoa asije akawaambukiza magonjwa ng'ombe wao.Amesema hayo leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika sokokuu la manispaa ya Iringa
Huu ni Unabii alio jinabiia yeye mwenyewe Nape, Maana 2015 Magamba watamuondoa hapo alipo! Nyie shikeni hili niliosema na 2015 mtaona Unabii huu watokea kwa Nape. Chadema Oyeee! Zisidume Fikira za Wana Magamba!Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema mchungaji Peter Msigwa ni sawa na punda kwenye kundi la ng'ombe na kwamba anawabebea mizigo CCM lakini 2015 watamuondoa asije akawaambukiza magonjwa ng'ombe wao.Amesema hayo leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika sokokuu la manispaa ya Iringa
Tatizo la Nape anaongea kama hajaenda shule,jamani jf mwenye CV ya nape ailete jamvini haraka.Katibu wa itikadi na uenezi Nape Nnauye amesema mchungaji Peter Msigwa ni sawa na punda kwenye kundi la ng'ombe na kwamba anawabebea mizigo CCM lakini 2015 watamuondoa asije akawaambukiza magonjwa ng'ombe wao.Amesema hayo leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika sokokuu la manispaa ya Iringa
Nape ni Pentium II kama nakumbuka vizuri
Ni Intel 386 hajafikia katika Kiwango cha Intel Pentium xxx!hapana Nape ni Pentium 1.