KWELI Kwa Mujibu Wa CCM Yao CUF Kugoma Kuingia Ktk UCHAGUZI BATILI, Haliwazuii Kufanya Uchaguzi Wao!!! NA Yeye Ni Mtu Wa Propaganda, Ndani Ya CCM, HIVYO Anatekeleza Majukumu Yake Kiutendaji!!! KWA Vile Katiba Ya Zanzibar Haijui, Inasemaje Kuhusu Muundo Wa SERIKALI Ya Umoja Wao Wa Kitaifa Ulivyo, Ni Haki Yake KUPAYUKA Tu!! ASUBIRIE Tu 20 March Ifike Aone Hilo Asemalo!!!! AMEZOEA Kupora USHINDI!!!