BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Nilikwambia miye...hawa watoto wa siku hizi, kama mzazi unaweza kudhani hawajui lolote kumbe wako loaded na so much info mpaka unaweza kushangaa. Sasa hapo ulipoulizwa, "Wewe hujui?" ulijibu nini? au ulijikausha tu!? lol!
Aisee ninacheck tamthilia Star TV kuna mkaka mmoja ameact kama shoga, nikasema "huyo ni kama shoga eeh", my son kaitikia "ndiyo".
Before kulikuwa na tangazo la Dume, nikamuuliza hiyo ni nini? Akanijibu "condom ya kiume.... kwani wewe hujui?".
It seems he know a lot more than l thought, some how l how l feel my job has become somewhat easier. Ni kujazia Mungu anasema nini juu ya nini, ngoja nitafute verse kwenye biblia about ushoga. Kuna mtu anayo kichwani?