King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Mwoskwito, trust me watoto wanajua mengi hawa! Mie nilionyeshwa movie inaitwa 'plz dont kill me' nikiwa p5. It was about couple mbili shuleni, moja iliingia kwenye sex na kupata mimba. They aborted, na mdada akaharibika kizazi kwa std. I tell you the movie was dramatic and it haunted me all the days of my youth. Sex meant unwanted pregnancy, a heart break and may be diseases. It was easy to decide what will trouble me less.
Hiyo ya iphone natania jamani, unataka asome pm za kaunga na eiyer si atapofuka,lol! Im all smiles here, worry out.
Hiyo ya iphone natania jamani, unataka asome pm za kaunga na eiyer si atapofuka,lol! Im all smiles here, worry out.
.....Oopss..... The kid is only 11yrs bana, hata baleghe bado haijakaa sawa unamtisha na HIV, STD and the likes? ....hata kumpa 'smartfone' u chat nae pia ni wrong!
Huyu underage, anatakiwa anolewe hapo hapo kwenye spiritual teachings kujua 'madhambi na madhara yake.' mtoto anaogopa dhambi kuliko haya maradhi ya wakubwa aka ngono!
Samahani lakini...