Yaani, wanaangaika kinoma sijui kwann.Sijui kwanini mechi ya yanga na Al Hilal inawaangaisha zaidi mashabiki wa simba!
Labda tumuulize OKW BOBAN SUNZU na Scars watakuwa na majibuSijui kwanini mechi ya yanga na Al Hilal inawaangaisha zaidi mashabiki wa simba!
Unajua Yanga hajapoteza mechi ya kimashindano Kwa mda mrefu sana na haijulikani lini atapoteza, kisaikolojia Mashabiki wengi wa Simba wanajua timu waliyonayo Haina uwezo wa kuifunga Yanga Sasa wanajaribu kutafuta timu ambayo itaifunga Yanga Ili nyoyo zao zipoe.Sijui kwanini mechi ya yanga na Al Hilal inawaangaisha zaidi mashabiki wa simba!
Mashabiki wa simba siku zote wanaiwazia Yanga zaidi, kuliko hata timu yao.Sijui kwanini mechi ya yanga na Al Hilal inawaangaisha zaidi mashabiki wa simba!
Kwa timu au mpira gani mlionao?Labda tumuulize OKW BOBAN SUNZU na Scars watakuwa na majibu
Ila nahisi Simba anakhofia Yanga anaweza fika mbali zaidi ya Simba hivyo kuwanyima Simba kutambaa kama zamani
Acha twone
kuliko hata BarbraMashabiki wa simba siku zote wanaiwazia Yanga zaidi, kuliko hata timu yao.
Kipigo cha "nje ndani" na River united mkuu umesahau? sema Yanga hawajapoteza mechi kwenye ligi - Tanzania bara.Unajua Yanga hajapoteza mechi ya kimashindano Kwa mda mrefu sana na haijulikani lini atapoteza, kisaikolojia Mashabiki wengi wa Simba wanajua timu waliyonayo Haina uwezo wa kuifunga Yanga Sasa wanajaribu kutafuta timu ambayo itaifunga Yanga Ili nyoyo zao zipoe.
Wana bahati mbaya kwakua Yanga imejiandaa vizuri na haitakua rahisi kupoteza mchezo hivi karibuni.
Mmeacha kupokea wageni eapiti?Unajua Yanga hajapoteza mechi ya kimashindano Kwa mda mrefu sana na haijulikani lini atapoteza, kisaikolojia Mashabiki wengi wa Simba wanajua timu waliyonayo Haina uwezo wa kuifunga Yanga Sasa wanajaribu kutafuta timu ambayo itaifunga Yanga Ili nyoyo zao zipoe.
Wana bahati mbaya kwakua Yanga imejiandaa vizuri na haitakua rahisi kupoteza mchezo hivi karibuni.
Muende kupokea wageni airportMashabiki wa simba siku zote wanaiwazia Yanga zaidi, kuliko hata timu yao.
Mtumbwibwa vibwengo😂Huu utaratibu naona unazidi kukita mizizi hapa nchini
Naona mpira sasa unachezwa mtandaoni hadi uwanjani
Tuliona kwa Zalan,je Wananchi watafaulu na kwa hawa wazee wa Sudani!?
Muda ni mwalimu mzuriView attachment 2361979
Ile ile iliyowafunga Ngao ya Hisani.Kwa timu au mpira gani mlionao?
Zaidi ya wale ambao huwa wanapokea wageni? Sasahivi jifaragueni tu ila mtakapotilewa kama kawaida yenu kisha ibaki Simba Sc peke yake kwenye mashindano, hapo ndo tutajua ni akina nani huwa wanaiwaza timu isiyowahusu.Mashabiki wa simba siku zote wanaiwazia Yanga zaidi, kuliko hata timu yao.
Ni wazo zuriYanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA
Siyo tunaanzia hapa nyumbani, au Mimi ndo sielewiYanga anaanzia ugenini ambako hawezi kushinda iko wazi yaani atapoteza...ILA AKIRUDI KWA MKAPA ANAWEZA KUSHINDA CHA KUFANYA AJITAHIDI SAANA ATOKE NA GOLI HATA MOJA PALE SUDAN LITAMSAIDIA AKIJA KWA MKAPA