Habari ndugu na jamaa,
Samahanini ninaomba kufaham nilijiunga na chuo mwaka 2022/23 then Nika ahirisha mwaka wa masomo (postpone) nikaambiwa nijiunge mwaka 2023/24 lakini kutokana na sababu zisizo ziwilika nimeshindwa kujiunga na mwaka huu je nikienda kujiunga mwaka wa 2024/25 nitakubaliwa au kupokelewa ikiwa niliambiwa nijiunge mwaka wa 2023/24?
Samahanini ninaomba kufaham nilijiunga na chuo mwaka 2022/23 then Nika ahirisha mwaka wa masomo (postpone) nikaambiwa nijiunge mwaka 2023/24 lakini kutokana na sababu zisizo ziwilika nimeshindwa kujiunga na mwaka huu je nikienda kujiunga mwaka wa 2024/25 nitakubaliwa au kupokelewa ikiwa niliambiwa nijiunge mwaka wa 2023/24?