Leo naenda hospitali kupima miwaya.Sina jinsi kuna mtu nimekuwa nikimpiga chenga mwisho kanambia ama nipime au mi na yeye basi.Jaaaaaasho linantoka ndo najiandaa kwenda TMJ hospital,mkiona kimya..............
usitake kujua tulielekea wapi, objective ilikuwa kumsaidia mtu kupima. yaliyoendelea ni off topic. imekaaje hii mkwe?
Ayaaaa.... kumbe? mbona hukuniambia?
BTW mmeo angekukuta unapima na lidume kingetokea nini?
Out Of Topic: Ni msukumo gani ulikufanya mke wa mtu utake "kumsaidia" njemba kupima ngoma?
Ngoja nijirudie zangu mapangoni Tora Bora.
mkwe usipotelee sana huko mapangoni.Ayaaaa.... kumbe? mbona hukuniambia?
BTW mmeo angekukuta unapima na lidume kingetokea nini?
Out Of Topic: Ni msukumo gani ulikufanya mke wa mtu utake "kumsaidia" njemba kupima ngoma?
Ngoja nijirudie zangu mapangoni Tora Bora.
Kwa heshima na taadhima natangaza rasmi kuwa uzi huu umefungwa.
Niufunge kwa kuwaomba wana CC wenzangu kila mmoja wetu ajiulize: Tuko wangapi?
Kwa heshima na taadhima natangaza rasmi kuwa uzi huu umefungwa.
Niufunge kwa kuwaomba wana CC wenzangu kila mmoja wetu ajiulize: Tuko wangapi?