Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
YoungMaster msimtishe mwenzenu, lol!bepari la kihaya...imeshakula kwako hiyo.
Last edited by a moderator:
YoungMaster msimtishe mwenzenu, lol!bepari la kihaya...imeshakula kwako hiyo.
duh, sipati picha ulivokuwa mdogo kama piriton wakati wanachukua damu yako kwa ajili ya vipimo. n-way kila la heri!
YoungMaster msimtishe mwenzenu, lol!
najua, lolha ha haaa!!! namtania tu bepari langu...!!!
Madame B bwana...ushaanza mambo yake eeh?Ah wapi,
Kama kapitapita huko lazima awe na wasiwasi.
Madame B bwana...ushaanza mambo yake eeh?
Young Master bhana acha tu.
Usifanye mchezo na HIV Test.
Bora unipige risasi lakini si kunipeleka Angaza.
Ha ha haaaa!!! Kumbe na wewe ni mmoja wapo kati ya wale thenashara.
Kwani wewe huogopi?
Kama uko ndoani hutoogopa,lakini kama upo Single,thubutu.
Mie niko single lakini siogopi.
Haya bhana.
Ila ukweli utabaki kuwa Kupima Ngoma ni Soo.
Hata uwe na Mwili kama wa Pepekale,Angaza panatisha Young Master.
Me hata uniwekee Mtutu,sithubutu.
Kama huendi sikuoi kudadadeki.
...na Kama hunioi najioa mwenyewe kama yule Mdada kule Marekani,watu wamepinda aisee!! kudadadeki.
Ha ha haaaaa!!! Angekuwa mwingine ningesema hawezi kufanya hivyo...lakini kwa kuwa ni wewe wala sibishi.
ha haa haaaa!! Young Master kwa nini mimi?
Hebu nidadavulie japo kichwa tu.
Njoo huku pembeni nikudadavulie mwili mzima.
Akhaa,
ushindwe na Ulegee.
Kushindwa naweza nikashindwa ila hilo swala la kuelegea ni ishu nyingine.