LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
- Thread starter
- #21
Yaani kwa jinsi ulivyoandika.........
Yaani mi nakushauri tu mfungukie kama ulivyofunguka hapa......
Yanini kujitesa bana. Na akikukuta huna bikira mtajiewambie kabisa aliyekubikiri ili akuone ulivyo mwadilifu.
Waishwa mshiki?
Mmmh ushauri wako babu umejaa mafumbo sana. Anyway moyo unanipasuka huu jamani