Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,820
- 59,406
Binafsi nakushauri usiolewe nae kwasababu tu mama yake akimtenga anaweza akaanza kukulaumu wewe na hata kuanza kukuchukia. Ukikosea kidogo unasikia "ndio maana mama yangu aliona giza juu yako, alijua tu hunifai" hata kama ni chumvi tu umesahau kununua.