Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,374
- 5,286
Ali take risk ambapo ni kitu cha kawaida ila alisahau ku manage risk , kinachonisikitisha zaidi ni attempts zake za mara kwa mara kujaribu kunyanguka lakini anaangukia pale pale, PROBABLY tamaa ya kupata UTAJIRI wa haraka ili atatue matatizo yake ndio kilichomgharimu ndugu yetu...Inasikitisha.
Maana huyu kasoma IFM tena banking and Finance level ya degree.
Kweli kabisa anatrade kwa mkopo?