Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Hellow
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana na rafiki yake ambaye alikuwaga ex wangu kipindi hiki niko shule ya upili
Sasa kufika pale nikajikausha kama simjui tangu nimekaa pale yule ex amekuwa akinitega sana nikatoka sebleni nikamwambia naenda kupumzika nikiwa room kaja tena kagonga mlango nikamwambia pita
Ndipo akapata nafasi ya kuongea na mimi akasema kuwa amwambie mchumba wangu ukweli wote kuhusu mimi na yeye mahusihano yetu au lah yeye amwambie na nikitaka asijue basi nichague kuludiana na yeye uku akiniongea kwa mitego
Mpaka sasa sijamwambia my lovery lakini yule ex bado anaendelea kutuma mapicha picha na sms za mitego na mimi simu huwa nikiwa na my lovery na mwachia hadi jf mda mwingine ana comment badala yangu
Nifanyeje wakuu
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana na rafiki yake ambaye alikuwaga ex wangu kipindi hiki niko shule ya upili
Sasa kufika pale nikajikausha kama simjui tangu nimekaa pale yule ex amekuwa akinitega sana nikatoka sebleni nikamwambia naenda kupumzika nikiwa room kaja tena kagonga mlango nikamwambia pita
Ndipo akapata nafasi ya kuongea na mimi akasema kuwa amwambie mchumba wangu ukweli wote kuhusu mimi na yeye mahusihano yetu au lah yeye amwambie na nikitaka asijue basi nichague kuludiana na yeye uku akiniongea kwa mitego
Mpaka sasa sijamwambia my lovery lakini yule ex bado anaendelea kutuma mapicha picha na sms za mitego na mimi simu huwa nikiwa na my lovery na mwachia hadi jf mda mwingine ana comment badala yangu
Nifanyeje wakuu