shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 212
- 268
- Thread starter
- #41
Leo as we speak nimenunua ubavu mzima wa nyama pendwa , kuifikisha tu ndani ndio mlango umeniletea wenge kuliko siku zote mpaka nimeandika uziUkila kitimoto pakaza mafuta yake kwenye bawaba na fungia mifupa juu ya mlango, zaidi kojolea kizingiti cha mlango uone kama hiyo hali itaendelea. Ikiendelea bhasi jua ni hali ya mlango tu na upepo na si ishu za vigagula