Uchaguzi 2020 Naomba nije kivingine kuhusu Tundu Lissu

Akili zako ndogo, umechukulia upinzani ni wakina fulani na ndio ujinga mnaowaza. Hivi tuambie before wewe ulijua Ummy atakuwa waziri wa Afya? Au hata Kigwangala atakuwa waziri wa maliasili? Unauliza nini kama mtoto alielelewa na mama? Huu uzi ni wa ovyo sana. Halafu naomba nikusaidie wewe mwenye akili ndogo, hauwezi ukauliza swali ambalo jibu lako unalo tayari, tena la kimazingira ambalo linakuwa na majibu tofauti tofauti hata 10. Wewe unataka ujibiwe kama unavyojua wewe akili hautaelewa kitu. Unazungumzia doa jeusi kwenye karatasi nyekundu ndio upeo wako. Pole sana, Tanzania ina watu milioni 50, kati yao ndio watapatikana viongozi full stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenishambulia mimi ila hujajibu swali la msingi. Naomba tuangalie japo majina matatu yanayoweza kufit kwenye uwaziri wa Fedha..
 
Tatizo lako wewe hujui kuwa Rais ni taasaisi sio mtu. Viongozi wote wa nafasi za kuteuliwa na Rais wanatafutwa kwa utaratibu. Na utaratibu huo unaongozwa na TISS naomba ujue. Sio rahisi kukupa majina yao hapa, hizo zako ni ngonjera na mipasho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Au Mbowe ndio atakuwa waziri wa Fedha Kisha waziri mkuu atakuwa mwingine?
 
Wewe ndio hujielewi, hujui ndege zina impact gani kiuchumi!!. Huwezi hata kuunganisha utalii wa kimataifa na nchi kuwa na chombo cha usafiri cha kuwaleta nchini watalii hao?.

Washamba ni watu wa aina yako ambao local thinking haiwatoki, mnazeeka nayo.
Nani kakuambia ndege huunganisha utalii?
Na tangu lini serikali inafanya biashara?
Mmarekani akitaka kuja Tanzania ni lazima apande Air Tanzania? Biashara ni ushindani, anaweza kupanda British Airways au ndege nyingine kulingana na hobby yake, washamba ni wewe unayeshangaa ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakuambia ndege huunganisha utalii?
Na tangu lini serikali inafanya biashara?
Mmarekani akitaka kuja Tanzania ni lazima apande Air Tanzania? Biashara ni ushindani, anaweza kupanda British Airways au ndege nyingine kulingana na hobby yake, washamba ni wewe unayeshangaa ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ongea uwezavyo lakini shirika la ndege ndio limeshafufuliwa, na watu wanazipanda kila kukicha.

Bakia na mawazo yako mgando, hakuna wa kukusaidia ukaweza kuijua dunia halisi ipo vipi.

Faida za nchi kuwa na shirika lake la ndege ni nyingi, siwezi kuziandika hapa ni juu yako wewe kuzifahamu.

Mkuu nimepanda ndege mwaka 1978 kuja Dar sikuja na fuso au lori la mkaa. Ninazijua ndege na nazijua faida zake za muda mrefu kiuchumi. Tafuta elimu mkuu, unaandika mambo ambayo yanaonyesha jinsi ulivyo mtupu kwenye masuala ya kimtazamo.
 
Back
Top Bottom