Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,635
Tundu Lisu has successfully been the talk of the town.
Ha ha ha.Kaka nilikuwa mbioni kukuita tuwasaidie watani zetu. Naona wana Lissu peke yake..
CV zao na utumishi uliotukuka ndio zitawapa ajira hawatatokana na Wabunge ili kutowadhulumu wapiga kura kutotumikiwa na waliowachaguaKwa upande wa mawaziri napo?
anawawewesha watu flani hawalali usiku wala mchana! nasikia kunaundwa majopo na kamati ili kutuliza kimbunga maana kijiupepo 'kimishaanza kunyanyua manyoya ya kuku..."Tundu Lisu has successfully been the talk of the town.
Huoni kuwa baraza la mawaziri itabidi lisubiri marekebisho ya katiba ili liundwe au mtakiuka katiba? Kifupi ni kuwa upinzani kuunda serikali bado sana. Na ndio maana hata mamvi alikuja na watu wake akijua kabisa huko hakuna watendaji .CV zao na utumishi uliotukuka ndio zitawapa ajira hawatatokana na Wabunge ili kutowadhulumu wapiga kura kutotumikiwa na waliowachagua
Mawaziri watateuliwa na Rais na kuidhinishwa na Bunge, Bunge litakuwa na meno,na litakuwa na nguvu,halitawekwa mfukoni mwa Rais, sasa hivi hatuna Bunge ni hasara tupu, Magufuli ndo Bunge,Ndugai ni Remote iliyoshikwa na Magufuli, anafanya atakavyo.Kwa upande wa mawaziri napo?
Hapa Duniani ukose vyote lakini uwe na akili, naona wewe huna akili kabisa.Kwanza anzeni mapambano dhidi ya makundi ya ndani halafu ndio muweze kuyafikiria hayo mambo ya uendeshaji wa serikali yenu.
Mbowe ana watu wake, huyu Lissu nae fitina yake ya kuwatumia kina Kubenea na Komu ikabuma, ili mradi tu kuna zile siasa za kuchekeana watu wakiwa mbele ya waandishi wa habari na kupigana vijembe watu wakiwa mbali ya kamera.
Hilo siyo Tatizo, kwa sasa Tanzania mikononi mwa CCM ipo ICU, tutalazimika kufanya mabadiliko makubwa mnoKwa mantiki hiyo kutakuwa na uchaguzi mwingine wa magavana baada ya uchaguzi mkuu. Huoni kama mchakato huo utachukua muda mrefu ukizingatia kuwa tutakuwa na haja ya kurekebisha katiba..
Mkuu usiwe na haraka ya kuwajua, Kuna wengine wapo ikulu wanakula na kupakua na Magufuli na hawampendi kwa matendo yake naye hudhani ni wenzake ila muda utaongea tu.Wa
Watakuwa Kina nani sasa?? Lengo la uzi huu ni kuwajua japo wawili watatu..
Povu jingine ni wewe mkuu. Makundi ya CCM huwezi yalinganisha na ya CDM. CCM ipo madarakani na inaelewa uzito wa dhamana ya madaraka. CCM wanazo njia za kuua makundi na mitandao.Hapa Duniani ukose vyote lakini uwe na akili, naona wewe huna akili kabisa.
Makundi yapo CCM, anayemkosoa Magufuli hana kazi na anawekwa pending kupokonywa ubunge, rejea ya Nape na Mwigulu, ni lazima kumsifia Magufuli ili familia yako ile na ndo mlivyo nyie mazezeta mliojazana humu
Sent using Jamii Forums mobile app
CDM haina makundi yoyote, hayo unayodai ni makundi ni mapandikizi ya serikali haramu ya CCM ili kuua upinzaniPovu jingine ni wewe mkuu. Makundi ya CCM huwezi yalinganisha na ya CDM. CCM ipo madarakani na inaelewa uzito wa dhamana ya madaraka. CCM wanazo njia za kuua makundi na mitandao.
CDM ina makundi halafu kibaya zaidi haina madaraka ya nchi nzima, ni bora muwe na makundi halafu magogoni ni yenu kuliko kuwa na makundi ya uhasama wa chini chini mpaka kutoana roho halafu ikulu bado sio yenu.
Hizi post za namna hii zinachangamsha sana na kuleta matumaini fulani lakini kuna mahali zinachoma kama mtokiLengo langu ni kujaribu kuangalia raslimali watu aliyonayo mheshimiwa Lissu katika kuunda serikali yake pale atakapochaguliwa kuongoza Taifa.
Tukumbuke kuwa hataongoza peke yake na lazima atahitaji wasaidizi. Tuanze na baraza lake la mawaziri.
1:Rais - Tundu Lissu.
2:Waziri Mkuu - Freeman Mbowe.
3:Mwanasheria mkuu wa serikali - John Millya
4:Jaji mkuu - Peter Kibatala.
5:Mambo ya ndani - Heche.
6:Ulinzi na usalama - Lema.
7:Utamaduni na michezo - Sugu.
8:
9:
10:
11:
Tuendelee kutazama watu alionao. Kisha tuongezee Mwanasheria mkuu wa serikali, Wakuu wa mikoa,Wakuu wa wilaya nk. Nawakaribisha wote kwa mjadala....
Kwa mantiki hiyo kutakuwa na uchaguzi mwingine wa magavana baada ya uchaguzi mkuu. Huoni kama mchakato huo utachukua muda mrefu ukizingatia kuwa tutakuwa na haja ya kurekebisha katiba..
Huwezi jua, kwan katibu mkuu kiongoz aliyeko saiv ulimjua kabla hajateuliwa?? ...Sipangi list mkuu. Nimeomba tujadiliane..
Wa
Watakuwa Kina nani sasa?? Lengo la uzi huu ni kuwajua japo wawili watatu..
Ndio tatizo lenu hlo mzee .... Hv katika uchaguzi uliopta kuna jimbo ambalo(chadema) upnzani hawakusimamisha mgombea ??? .. wale sio watu ...Nategemea kusikia kuwa labda mheshimiwa Mdee anaweza kushika uwaziri wa Sheria, mheshimiwa Kubenea akashika uwaziri wa habari nk. Vinginevyo ninalazimika kusema kuwa upinzani hauna watu wa kuweza kushika nafasi nyeti serikalini zaidi ya mgombea ambaye ameshapitishwa na wanachama tayari..
Nimeedit kule juu mkuu. Ila inaonyesha kuna uwezekano wa kukosa watu wenye ueledi na kuishia kuokotaokota watu ili nafasi zijazwe hali itakayotuletea janga sisi kama taifa..