Jamani mandenyi itika ombi langu basi. Usidhani me ni mchovu kivile... Ingawa siko vizuri kihivyo pia. Ila nina uwezo wa kukumudu kimalovee na accesories zake kama kukupeleka nairobi mara 2 kwa mwezi, take u to natl parks weekly etc etc etc. Please
wewe kweli una tatizo....... How kam unataka kuzuia mapaja ya wa2 wawili yasiktane? Just emergine wa2 wanatakana & then you just monopolizing them hence u are extorting pipo. Please no
Jamani mandenyi itika ombi langu basi. Usidhani me ni mchovu kivile... Ingawa siko vizuri kihivyo pia. Ila nina uwezo wa kukumudu kimalovee na accesories zake kama kukupeleka nairobi mara 2 kwa mwezi, take u to natl parks weekly etc etc etc. Please
ruttashobolwa Ana kichogo!!!ruttashobolowa ni tapeli atakimbia na pesa zako halafu hutamuona tena,
na ni nani alikuambia @ruttshobolwa ni mwanasheria?
angalia hapa ruttashobolwa akibrush viatu vya Bishanga,
hii ndio ajira yake rasmi
1. Jamani PPRA niko hapa taratibu zifwatwe posa ipitie hapa ili nijiridhishe kama kabati la mbehoo lipo na mburu wa maruwa
2. hakuna kuonja kwanza
3. Posa haitarudishwa
vigezo na masharti vizingatiwe
ruttashobolwa Ana kichogo!!!
Bishanga mbona ana sura ya Kimalawi
Mamndeny lea mwana huyo kaja mwenyewe wala sijamshawishi...
Madame x naomba unipe sapoti basi jamani. Huyu mdada aitwaye mamndenyi kanizorotesha afya yangu. Halafu kuna bwenga (mhaya) fulani ananiongozea maumivu anaitwa rutta.
Madame x naomba unipe sapoti basi jamani. Huyu mdada aitwaye mamndenyi kanizorotesha afya yangu. Halafu kuna bwenga (mhaya) fulani ananiongozea maumivu anaitwa rutta.
That will be your contract with madame x not with ma client!
Mteja wangu kakuzorotesha!!!!
Do you have prove?
And that is accusation to my client
I should open another charges against you.
mwaaaaaaaaaaaaaa!
siku hizi utoaji wa mahari ni sawa na manunuzi kwahiyo ppra ni muhimu kuwepo tofauti na zamani mahari ilikuwa ni kama shukrani kwa familia ya bint.We Livingstone,pipiaraei mpaka kwenye mahari?
You should prove that mana is ruttashobolwa!
Your trying to ruin my reputation!
And this will cost!