Une hela wewe? Au unajishebedua tu?
Hii ndio Jf bwana,
Ma-stress yako,TUPA KULEE,
Tunakula Raha tu.
Ma Mkwe,njoo bwana kuna baba Mkwe mpya kajitokeza.
Ila angalia kama 'mfuko' wake unalipa.
Hatutaki wakwe Maskini sisi.
Aaaaaaaaaaaaah
ngoja nijifiche hapa nione mchezo
Naomba unisikize me mtoto wa mwanamke mwenzio. Nataka ndoa kwako mama wa kijijini/ wa mgombani. Naomba mashemeji mjitokeze ma aunt na wakwe, niko tayari. Ahsante kwa uelewa wako.
wewe si nilikupiga ban la miezi 12,
nani kakakufungulia??!!
Anakuja! Lazima uchukue kifaa!
Eeeeh bana eeeeh,
nikisema maadili hakuna mnasema umezeeka,
si unaona mwenyewe sasa.