mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
atakuja muda si mrefu, anasema hataki binti wako,
yeye anataka mama lao, hapo ndipo moyo wake umedondokea,:A S 465:
atakuja muda si mrefu, anasema hataki binti wako,
ruttashobolowa ni tapeli atakimbia na pesa zako halafu hutamuona tena,
na ni nani alikuambia @ruttshobolwa ni mwanasheria?
angalia hapa ruttashobolwa akibrush viatu vya Bishanga,
hii ndio ajira yake rasmi
"Hata kobe ana mpenzi wake lakini haijui shilingi" by Chidumule.
Hii ndio Jf bwana,
Ma-stress yako,TUPA KULEE,
Tunakula Raha tu.
Ma Mkwe,njoo bwana kuna baba Mkwe mpya kajitokeza.
Ila angalia kama 'mfuko' wake unalipa.
Hatutaki wakwe Maskini sisi.
ruttashobolowa ni tapeli atakimbia na pesa zako halafu hutamuona tena,
na ni nani alikuambia @ruttshobolwa ni mwanasheria?
angalia hapa ruttashobolwa akibrush viatu vya Bishanga,
hii ndio ajira yake rasmi
au ka vipi ampotezee tu,mpango mzima ni bwana mwenye mihela kama bishanga.
Uzuri mteja wangu hakukurupuka! Aliuliza na akaelekezwa kwa lawyer mzuri! You trying to fake her! Don play with fire you will end in jail!
nasikia Bishanga alikufukuza ajira ya kubrush viatu vyake , ulimuibia suti zake now ndo watapeli watu kwa kujifanya mwanasheria, nasikia hapa ulionekana mahali fulani ukapigwa picha kwa siri:A S 465:
Une hela wewe? Au unajishebedua tu?
mara hii ushaanza kum miss? ama kweli mapenzi ya kileo yamekuwa maharage ya mbeya maji mara moja.
au ka vipi ampotezee tu,mpango mzima ni bwana mwenye mihela kama bishanga.
Aaaaaaaaaaaaah
ngoja nijifiche hapa nione mchezo
"Hata kobe ana mpenzi wake lakini haijui shilingi" by Chidumule.
umemjibuje hivyo baby wangu