Naomba muongozo kuhusa MBA

Unachotakiwa kufanya kwanza ni kujua masomo unayotaka kufanya/specialise halafu tafuta shule ambayo itakupa masomo unayotaka. Vyuo vipo nyingi duniani na msomo yao hayafanani. Lakini vyuo vingi viliyo vizuri vinatoa foundation courses kwenye Accounting, Finance, Marketing, Managerial Economics, MIS, na Quantitative methods. Baadhi ya masomo haya yanaweza kuwa magumu, lakini integemea chuo unachokwenda. Baada ya foundation courses ndiyo unaingia kwenye MBA programme yenyewe.

Kama nilivyosema hapo juu vyuo vipo vingi na havifanani. Masomo ya MBA yapo "pupular" kwenye vyuo vingi kwa vile wanaosoma wengi wao wana uwezo wa kulipa. Kwa vile watu wanaotaka kusoma MBA ni wengi basi baadhi ya vyuo vinatoa degree za MBA amabazo naweza kusema hazina ubora sana.

Mimi nadhani kama unaendesha biashara zako ni vizuri sana ukasoma hiyo degree. Ulimwengu wa leo una ushindani mkubwa katika mambo ya biashara. Achana na hao wanaobeza umuhimu wa elimu. Cha muhimu uchague masomo unayotaka kufanya halafu vyuo na vile vile nchi. Degree za MBA zinatolewa zaidi USA kuliko ulaya.
 
jiulize wenye biashara kubwa kubwa hapa nchini wana hizo MBA au wamewaajiri waoga wa kuanzisha biashara zao/waogo wa kutake risk wenye MBA? the point is huhitaji MBA to run your own business, the more you go high in study, the more you become afraid of taking risk.

Lakini uzuri ni kwamba kuwa na master degree hakumfanyi mtu ashindwe kufanya biashara kwa ufanisi ndio maana mtu kama Warren Buffet ana masters na ni bilionea......si kweli kwamba kadri unavyosoma ndivyo unazidi kuwa muoga wa kubeba risk. Risk averse or risk loving ni tabia ya mtu.....shule inakufanya tu uwe makini kwenye kuchambua ni risk zipi za kubeba na zipi za kuacha! Kama mshikaji anaamini kuwa na MBA kutamfanya afanye vizuri biashara zake (hasa kama biashara yenyewe ni ndogo) mwache tu aende kufanya hiyo MBA!
 
soma kwa bidii,kila kitu ni kigumu ila ukiweka msuli kina wezekana,KOMAA MKUU
 
Ahsante HARDWOOD nimekusoma MKUU,ushauri mwingine tafadhali katika hizo selective which is the best one?
marketing is the best mkubwa! Mimi pia ths year sept.najoin 4 my MBA (marketing) hopeful we gona form a very nice grup diskashn!
 
Back
Top Bottom