fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Wacha kuazia mabaya kila siku, kumbuka shetani is already a big player...Hapo ndo anapo penda kucheza na lazima katika ndoa iilio tulia anatafuta njia moja, au nyingine kuanzisha kasoro kwenye ndoa hizo...Wasi wasi na Shaka shaka ndo zake hizo.Asante Hopecomfort, ulivyowaza ndivyo nilivyofikiria kuwa huwa lift inatokea kwa bahati, sasa hili ka kupiga simu kabisa kuomba lifti hapo ndiyo nilipata utata kwa kuzingatia ubinadamu wetu...
Kwa kuwa umesha anza kuwa na wasi wasi na ndoa yako, basi sidhani kama utaenda mbali na ndoa yako.
JARIBU KUTUMIA AKILI HAPA NA UJUWE WAZI....MARA NYINGI SANA WATU WAKISHA KUWa WANAFANYA KAZI PAMOJA WANAKUWA KAMA NDUGU.
Kama mme wako ana mchezo mbaya wapande naye gari pamoja au wasipande naye, wakiwa wanamtaka na yeye anawataka wata fanya tu kitu unacho kuwa na wasi wasi nacho.
Weka uaminifu kwenye ndoa yako, acha kurukia anga za shetani huta ziweza.
Ushauri wa kikubwa, ndoa ni kumuamini huyo uliye naye...ukisha kosa uaminfu utabaki kuimba tu kama kuna ndoa.