Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
Wakunimiss ni baba Ashrat pekee!!!
Umemsoma asprin hapo juu?
Wakunimiss ni baba Ashrat pekee!!!
Du! Sawa mkuu,ndo mana konnie anakuita babu?
Dark City, nasubiri kwa hamu unjuka uishe, siwezi vumilia tena.
Nafsi inanisuta nikimtizama baba watoto, mabusu tele tele, mie natamani nimzabe kibao.
Umemsoma asprin hapo juu?
Khaa!
Ngoja nikazimue kwanza...
BRB.
Kwa lipi??
Hebu nipishe huko.
Umemsoma asprin hapo juu?
Mtu mwenyewe kazi kuharibu majina ya watu.
Ngoja nkalale zangu mie!!
Babu ODM asali ya moyo wako amepata kibuz
Ukalale nanani?
asante, angalau unanipa moyo ni kipindi cha mpito tu.
Nitajitahidi sana kukaa naye mbali.
mmmh! naimagine kama mm ndo mumeo halafu nakujakufahamu!
mmmh! naimagine kama mm ndo mumeo halafu nakujakufahamu!