mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Ulimwengu huu ni wa ajabu sana. mtu asema ndio kumbe ana maana hapana. atasema nakuja kumbe anaondoka. ukiona mwenyekji wako anarudiarudia neno karibu ujue anataka uondoke. Basi wanadamu ni wa ajabu sana dada yangu. Mtu atasema binadamu wabaya lakini je, nani aweza kuishi bila bunadamu mwenzie? Kilichotekea kwako ni bahati mbaya tu na hii hutokea kwa wengi wendi wengi kwa msisitizo lakini hubaki siri hata baba yoyoo wako angeweza kuwa neye alishagafirika mahali lakini kwa vile hujui basi itabaki kuwa yuko safi.nimesema hata mimi nilishajikuta hhivo bila kutegemea ingawa nilikuwa sikamatiki ikaja siku nikanasa. Basi kapime afya yako kisha uendelee kama haijawahi kutokea kitu haina haja ya kujuta