Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
- Thread starter
- #61
assuredly4, asante kwa maneno ya busara sana.
Ila unatumia nguvu nyingi sana, sosho life ingekuwa perfect kihivyo kungekuwa eden.
Anyway, ngoja nikukumbushe, wenye afya hawamhitaji daktari, wanaomuhitaji ni walio wagonjwa, sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu.
Ila unatumia nguvu nyingi sana, sosho life ingekuwa perfect kihivyo kungekuwa eden.
Anyway, ngoja nikukumbushe, wenye afya hawamhitaji daktari, wanaomuhitaji ni walio wagonjwa, sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu.
msidanganyike wazinzi hawatauridhi uzima wa milele,
yamtokayo mtu kinywani mwake ndio yaujazayo moyo wake, maneno yako hayaoneshi kujuta bali kufurahia uzinzi na kuendelea kuufanya, umekuja kutukebehi na kutafuta kuchafua roho zetu, kwa jina la Yesu kristo pepo akutoke na upotelee mbali\
kila apandaye uovu huvuna mabaya
Last edited by a moderator: