Naomba msaada tafadhali

SG8

JF-Expert Member
Dec 12, 2009
3,955
2,125
Wakuu naomba msaade kwa haya yafuatayo
1. Wakati na access mtandao wa Jamii forums bahati mbaya bila kujua nilipunguza size ya maandishi na window. Leo tena nikiwa facebook nimefanya hivo bila kujua. So ninapofungua page hizo font size ni ndogo inaweza kuwa 6 hivi au 8. Nifanyeje kuirudisha kwenye normal? Wengine teknolojia zinatusumbua kidogo. Laptop yangu ni Accer.
2. King'amuzi changu cha Startimes nilihama nacho toka Dar kuja Mbeya na huku hakifanyi kazi. Ni8fanyeje hasa kwani jamaa wa Startimes hapa Mbeya hawako serious, hawajanisaidia chochote kwa wiki sasa.
Plz naomba msaada
 
unatumia browser gani na version gani? na fonts kuwa ndogo ni jf na fb tu au website zote? khs startimes angalia taa ya kijani kama inawaka ktk king'amuzi chako otherwise ni poor signal inabidi utumie external antenna
 
Shika button ya Ctrl kisha bonyeza 0 (sifuri)

Au tafuta sehemu ya zoom kwenye browser yako, rudisha 100%
 
  • Thanks
Reactions: SG8
Shika button ya Ctrl kisha bonyeza 0 (sifuri)

Au tafuta sehemu ya zoom kwenye browser yako, rudisha 100%
Duh, JF kiboko. Nashukuru sana Mkuu nimefanikiwa. Be blessed. Thanx alot
 
unatumia browser gani na version gani? na fonts kuwa ndogo ni jf na fb tu au website zote? khs startimes angalia taa ya kijani kama inawaka ktk king'amuzi chako otherwise ni poor signal inabidi utumie external antenna
Natumia Mozilla Firefox lakini nimepata suluhisho. kuhusu Startimes tatizo ni namna ya kubadili code namba toka Dar kuja Mbeya naambiwa kunatakiwa kuchange, ndipo tatizo lilipo na hawa jamaa inaonekana sio prority yao kwa sisi tuliokuwa navyo tangu zamani
 
Back
Top Bottom