Dim Ray
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 318
- 247
Habari zenu wana jamvi,
Matumaini yangu muwazima . Straight to the point hivi juzi juzi nilipiga windows 10 kwenye laptop yangu ni ya 2015 ila cha ajabu ni kwamba windows hiyo haikuwa na Microsoft word 2007 na Microsoft services nyingine nilikuwa na mpango wa kupiga windows nyingine lakini ghafla pc inakataa kuwaka, screen inakuwa na black colour tu, hai display chochote
Matumaini yangu muwazima . Straight to the point hivi juzi juzi nilipiga windows 10 kwenye laptop yangu ni ya 2015 ila cha ajabu ni kwamba windows hiyo haikuwa na Microsoft word 2007 na Microsoft services nyingine nilikuwa na mpango wa kupiga windows nyingine lakini ghafla pc inakataa kuwaka, screen inakuwa na black colour tu, hai display chochote